((﴿رَبَّنَا آتِنَا فِي الدُّنْيَا حَسَنَةً وَفِي الْآخِرَةِ حَسَنَةً وَقِنَا عَذَابَ النَّارِ﴾)).
Alikuwa Mtume (s.a.w) akisema baina yake: ''Ewe Mwenyezi Mungu tupe katika dunia hii mema, na katika akhera mema, na utukinge na adhabu ya moto.''
Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham