MwanzoDhikriDua inayosomwa baina ya nguzo ya yemeni na hajar al-as'wad (katika alkaaba)dhikri 1

Dua inayosomwa baina ya nguzo ya yemeni na hajar al-as'wad (katika alkaaba) — dhikri 1

الدعاء بين الركن اليماني والحجر الأسود · Hisnul Muslim · 1 / 1

Soma · SikilizaFaili la PDF

((﴿رَبَّنَا آتِنَا فِي الدُّنْيَا حَسَنَةً وَفِي الْآخِرَةِ حَسَنَةً وَقِنَا عَذَابَ النَّارِ﴾)).

Alikuwa Mtume (s.a.w) akisema baina yake: ''Ewe Mwenyezi Mungu tupe katika dunia hii mema, na katika akhera mema, na utukinge na adhabu ya moto.''

Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham

Dhikri · 15 lugha