((لَبَّيْكَ اللَّهُمَّ لَبَّيْكَ، لَبَّيْكَ لاَ شَرِيكَ لَكَ لَبَّيْكَ، إِنَّ الْحَمْدَ، وَالنِّعْمَةَ، لَكَ وَالْمُلْكَ، لاَ شَرِيكَ لَكَ)).
Nimekuitikia Ewe Mwenyezi Mungu nimekuitikia, nimekuitikia huna mshirika wako nimekuitikia, hakika sifa njema, na neema na Ufalme, ni vyako, huna mshirika wako.
Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham