وَقَالَ صلى الله عليه وسلم: ((لاَ تَجْعَلُوا قَبْرِي عِيداً وَصَلُّوا عَلَيَّ؛ فَإِنَّ صَلاَتَكُم تَبْلُغُنِي حَيْثُ كُنْتُمْ)).
Na amesema Mtume (s.a.w) ''Msilifanye kaburi langu kuwa ni Idd, (mahali pa kufanya ibada inayorejewa rejewa), na niswalieni kwani kuniswalia kwenu kunanifikia popote mlipo.''
Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham