MwanzoDhikriKumkumbuka Mwenyezi Mungu wakati wa kuipanda milima na wakati wa kushukadhikri 1

Kumkumbuka Mwenyezi Mungu wakati wa kuipanda milima na wakati wa kushuka — dhikri 1

التكبير و التسبيح في سير السفر · Hisnul Muslim · 1 / 1

Soma · SikilizaFaili la PDF

قَالَ جَابِرٌ رضي الله عنه: ((كُنَّا إِذَا صَعَدْنَا كَبَّرْنَا، وَإِذَا نَزَلْنَا سَبَّحْنَا)).

Imepokelewa kutoka kwa Jaabir (r.a) amesema: Tulikuwa tukipanda mlima tunasema; ''Mwenyezi Mungu ni Mkubwa'' Na tukishuka tunasema: ''Ametakasika Mwenyezi Mungu.''

Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham

Dhikri · 15 lugha