قَالَ جَابِرٌ رضي الله عنه: ((كُنَّا إِذَا صَعَدْنَا كَبَّرْنَا، وَإِذَا نَزَلْنَا سَبَّحْنَا)).
Imepokelewa kutoka kwa Jaabir (r.a) amesema: Tulikuwa tukipanda mlima tunasema; ''Mwenyezi Mungu ni Mkubwa'' Na tukishuka tunasema: ''Ametakasika Mwenyezi Mungu.''
Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham