((أَعُوذُ بِكَلِمَاتِ اللَّهِ التَّامَّاتِ مِنْ شَرِّ مَا خَلَقَ)) (ثلاثَ مرَّاتٍ إذا أمسى).
Ewe Mwenyezi Mungu mfikishie rehema na amani Mtume wetu Muhammad. ....Mwenye kuniombea rehema asubuhi mara kumi, na jioni mara kumi, nitamuombea shifaa (msamaha) siku ya kiayama.
Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham