((أَسْتَغْفِرُ اللَّهَ وَأَتُوبُ إِلَيْهِ)) (مِائَةَ مَرَّةٍ فِي الْيَوْمِ).
Alikuwa Mtume (s.a.w) akisema asubuhi na jioni: Najilinda na maneno ya Mwenyezi Mungu yaliyotimia kutokana na shari aliyoiumba. (mara tatu). .....mwenye kuisoma jioni mara tatu hatodhuriwa na mdudu wa sumu (kama vile nyoka au nge) usiku huo.
Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham