MwanzoDhikriDua baada ya kumzika maitidhikri 1

Dua baada ya kumzika maiti — dhikri 1

الدعاء بعد دفن الميت · Hisnul Muslim · 1 / 1

Soma · SikilizaFaili la PDF

((اللَّهُمَّ اغْفِرْ لَهُ، اللَّهُمَّ ثَبِّتْهُ)).

Ewe Mwenyezi Mungu mfanye awe thabiti. Mtume (s.a.w) alikuwa akimaliza kuzika anasimama mbele ya kaburi kisha ansema: Muombeeni msamaha kwa Mwenyezi Mungu ndugu yenu na muombeeni kuthibitishwa kwani hivi sasa anaulizwa.

Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham

Dhikri · 15 lugha