((اللَّهُمَّ لاَ تُؤَاخِذْنِي بِمَا يَقُولُونَ، وَاغْفِرْ لِي مَا لاَ يَعْلَمُونَ، [وَاجْعَلْنِي خَيْراً مِمَّا يَظُّنُّونَ])).
Ewe Mwenyezi Mungu usinichukulie kwa yale wanayoyasema, na unisamehe kwa yale wasiyoyajua, (na unifanye bora kuliko wanavyo nifikiria).
Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham