((إِذَا سَمِعْتُمْ نُبَاحَ الْكِلاَبِ وَنَهِيقَ الْحَمِيرِ بِاللَّيْلِ فَتَعَوَّذُوا بِاللَّهِ مِنْهُنَّ؛ فَإِنَّهُنَّ يَرَيْنَ مَا لاَ تَرَوْنَ)).
Mkisikia mlio wa mbwa na wa punda usiku, basi mtakeni hifadhi Mwenyezi Mungu kwani wao wanaona msiyoyaona.
Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham