((اللَّهُمَّ قِنِي عَذَابَكَ يَوْمَ تَبْعَثُ عِبَادَكَ)).
Alikuwa Mtume (s.a.w) akitaka kulala anaweka mkono wake wa kulia chini ya shavu lake, kisha anasema: ''Ewe Mwenyezi Mungu nikinge na adhabu yako siku utakayo wafufua waja wako. (mara tatu).
Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham