((إِذَا دُعِيَ أَحَدُكُمْ فَلْيُجِبْ، فَإِنْ كَانَ صَائِماً فَلْيُصَلِّ، وَإِنْ كَانَ مُفْطِراً فَلْيَطْعَمْ)) ، وَمَعْنَى فَلْيُصَلِّ أَيْ فَلْيَدْعُ.
Akialikwa mmoja wenu aitikie wito, akiwa amefunga basi awaombee dua, na kama hakufunga basi ale.
Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham