MwanzoDhikriKumlakinia anaetokwa na rohodhikri 1

Kumlakinia anaetokwa na roho — dhikri 1

تلقين المحتضر · Hisnul Muslim · 1 / 1

Soma · SikilizaFaili la PDF

((مَنْ كَانَ آخِرُ كَلاَمِهِ لاَ إِلَهَ إِلاَّ اللَّهُ دَخَلَ الْجَنَّةَ)).

Amesema Mtume (s.a.w): Mtu ambae neno lake la mwaisho litakuwa ni: (Laa ilaaha ila Allaah). ''Hapana mola apasae kuabudiwa kwa haki ila ni Mwenyezi Mungu.'' .........Ataingia peponi.

Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham

Dhikri · 15 lugha