MwanzoDhikriDua unayomuombea uliyemtukanadhikri 1

Dua unayomuombea uliyemtukana — dhikri 1

الدعاء لمن سببته · Hisnul Muslim · 1 / 1

Soma · SikilizaFaili la PDF

قَالَ النَّبِيُّ صلى الله عليه وسلم: ((اللَّهُمَّ فَأَيُّمَا مُؤْمِنٍ سَبَبْتُهُ فَاجْعَلْ ذَلِكَ لَهُ قُرْبَةً إِلَيْكَ يَوْمَ الْقِيَامَةِ)).

Imepokewa kutoka kwa Abuu Hurayra (r.a) amemsikia Mtume (s.a.w) akisema: ''Ewe Mwenyezi Mungu, kwa muislamu yeyote niliyemtukana, basi fanya kwa hilo litakalomkurubisha kwako, (ni thawabu kwake) siku ya Kiyama.''

Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham

Dhikri · 15 lugha